Kamata Lyrics – Diamond Platnumz

Share With Friends

 Kamata Lyrics – Diamond Platnumz


New African song Kamata sung by Diamond Platnumz and staring by Diamond Platnumz taken from album Kamata.

Kamata Lyrics 


Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamata

Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamata

Kamata kiuno, kamata bega
Kamata kichwa ka ndoo unabeba
Kamata kimini chalegalega
Wooh! Mana  chashuka chini unanitega

Aah! Mah! Yaleo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamata

Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamata

Eeeh! Kama gari ile vuum! vuum! (Vuum! Vuum!)
Mtoto mkali mchum mchum (Mchum! Mchum!)
Ikiwa ngangali ile ngumu ngumu (Ngumu! Ngumu!)
Nenda kamchinjie mbali kwa room room

Sa Twende kamata
Kama unaisakata nyumba kwa bambata
Ile kinoma
Tegeta, Tabata fanya unaifatata
Za mbuzi kakataa, Amegoma Aaii

Kati kati, Chini Chini, Kamata
Kasi Kasi, speed 120, Kamata
Eeeh! Kama unamenya ndizi, Kamata
Police anashika mwizi, Kamata

Aah! Mah! Yaleo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema
Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpakaa Chini, kamata

Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpakaa Chini, kamata


Credits :-
Song – Kamata
Artist – Diamond Platnumz
Album – Kamata

About lyricsdon08

Check Also

Justin Bieber – Honest Song Lyrics

Share With FriendsJustin Bieber – Honest Song Lyrics (feat. Don Toliver) Honest Song Lyrics with …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *